November 16, 2015

  • BOMOABOMOA KURASINI JIJINI DAR ES SALAAM WANANCHI KUTAHARUKI‏


    BOMOABOMOA KURASINI JIJINI DAR ES SALAAM WANANCHI KUTAHARUKI‏
    Dereva wa  Katapila akibomoa moja ya nyumba za Kurasini


    Fatuma Mussa mkazi wa Kurasini akizungumza na waandishi wa habari (pichani hawapo)  kwa hisia kali akilalamikia ubomoaji wa makazi yao
    Mwenyekiti wa Serikaili za Mtaa Shimo la Udonge Jijini Dar es Salaam akizungumza na waandishi wa habari
    Mkazi wa Kurasini Jijini Dar es Salaam Bi Nyakomba Selemani akiwa mbele ya gofu la nyumba yake akionyesha Stop Oda lakini imebomolewa 
    Wahanga wakijaribu kupakia vitu katika gari tayari kwakwenda kutafuta hifadhi
    Mkazi wa Kurasini akiwa amedhibitiwa na Mgambo akidaiwa kuwarushia mawe akiwa na wenzake na kudaiwa kukutwa na kisu
    Wahanga na vyombo vyao
    Anayedaiwa kuwa ni Askari kanzu wapili kulia akipandishwa Gari  akihusishwa kuwatupia mawe Mgambo ambapo alisikika akisema mimi nilikuwa nikiwapa muongozo.

    Mkazi wa Kurasini  akijaribu kuokoa mbao za gofu hilo baada ya kubomolea
    Mkazi wa Kurasini akiwa amedhibitiwa na Mgambo akidaiwa kuwarushia mawe akiwa na wenzake na kudaiwa kukutwa na kisu akiwa amejiinamia baada ya kunaswa kibao usoni akiwa amevishwa pingu



  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.