| Dereva wa  Katapila akibomoa                  moja ya nyumba za Kurasini  |             
| Fatuma Mussa mkazi wa Kurasini akizungumza na waandishi wa habari (pichani hawapo) kwa hisia kali akilalamikia ubomoaji wa makazi yao | 
| Mwenyekiti wa Serikaili za Mtaa Shimo la Udonge Jijini Dar es Salaam akizungumza na waandishi wa habari | 
| Mkazi wa Kurasini Jijini Dar es Salaam Bi Nyakomba Selemani akiwa mbele ya gofu la nyumba yake akionyesha Stop Oda lakini imebomolewa | 
| Wahanga wakijaribu kupakia vitu katika gari tayari kwakwenda kutafuta hifadhi | 
| Mkazi wa Kurasini akiwa amedhibitiwa na Mgambo akidaiwa kuwarushia mawe akiwa na wenzake na kudaiwa kukutwa na kisu | 
| Wahanga na vyombo vyao | 
| Anayedaiwa kuwa ni Askari kanzu wapili kulia akipandishwa Gari akihusishwa kuwatupia mawe Mgambo ambapo alisikika akisema mimi nilikuwa nikiwapa muongozo. | 
| Mkazi wa Kurasini akijaribu kuokoa mbao za gofu hilo baada ya kubomolea | 
| Mkazi wa Kurasini akiwa amedhibitiwa na Mgambo akidaiwa kuwarushia mawe akiwa na wenzake na kudaiwa kukutwa na kisu akiwa amejiinamia baada ya kunaswa kibao usoni akiwa amevishwa pingu | 
0 comments:
Post a Comment