November 17, 2015

  • HASHIM RUNGWE ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA USPIKA



    HASHIM RUNGWE ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA USPIKA
    Aliyekuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHAUMMA, Ndg. Hashim Rungwe amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
    -Atapigiwa kura leo ambapo Wabunge wote watapiga kura kuchagua Spika na Naibu wakeHabari za uhakika nilizonazo zinaarifu kwamba mpaka sasa jumla ya vyama 8 vimeshawasilisha majina ya wagombea wao wa nafasi ya kiti cha Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
    Wagombea hao ni ndugu Hashim Rungwe wa CHAUMMA, Ole Medeye wa CHADEMA, Peter Sarungi wa AFP, Kisokya wa NRA, Godfrey Malisa wa CCK, Richard Lyimo wa TLP na mgombea kutoka chama cha DP, Robert Alexander Kisinini..


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.