
NEWS ALERT: TAARIFA SAHIHI YA MABUNDA YA NOTI KWENYE NDOO INAYOZAGAA MITANDANO HII HAPA.... Habari zilizosambaa mitandaoni kuhusiana na mabunda ya noti za dola ya Kimarekani kuwa zimekutwa nyumbani kwa mmoja wa watuhumiwa wa mtandao wa wizi bandarini na TRA sio za kweli, Globu ya Jamii inaweza kuthibitisha....