Tunakujali, Tunakuthamini na Pia Tunakupenda!

November 29, 2015

  • NEWS ALERT: TAARIFA SAHIHI YA MABUNDA YA NOTI KWENYE NDOO INAYOZAGAA MITANDANO HII HAPA....

    NEWS ALERT: TAARIFA SAHIHI YA MABUNDA YA NOTI KWENYE NDOO INAYOZAGAA MITANDANO HII HAPA.... Habari zilizosambaa mitandaoni kuhusiana na mabunda ya noti za dola ya Kimarekani kuwa zimekutwa nyumbani kwa mmoja wa watuhumiwa wa mtandao wa wizi bandarini na TRA sio za kweli, Globu ya Jamii inaweza kuthibitisha....
  • SAKATA LA MAKOTENA KUPOTEA BANDARINI HII HAPA BARUA KUTOKA TRA KWENDA BAKHRESA

    SAKATA LA MAKOTENA KUPOTEA BANDARINI HII HAPA BARUA KUTOKA TRA KWENDA BAKHRESA ...
  • MBARONI KWA KUUA WATU WATATU WA FAMILIA MOJA

    MBARONI KWA KUUA WATU WATATU WA FAMILIA MOJA Polisi mkoani Ruvuma inamshikilia Amani Hyera (42), mkazi wa kijiji cha Kikunja wilayani Songea kwa tuhuma za kuwaua watu watatu. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Ruvuma, Mihayo Msikhela, alisema tukio hilo limetokea juzi....
  • MAGUFULI AWAWEKA ROHO JUU VIGOGO WA MASHIRIKA YA UMMA

    MAGUFULI AWAWEKA ROHO JUU VIGOGO WA MASHIRIKA YA UMMA Siku moja baada ya Rais John Magufuli na Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa kuwasimamisha watendaji wa Bandari na TRA, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amemtaka kila mtendaji mkuu au ofisa masuhuli wa Serikali kujiuliza ni kwa kiasi gani...
  • MKOA WA DODOMA UMEANZA KUTEKELEZA AGIZO LA MHE. RAIS MAGUFULI LA KUFANYA USAFI SIKU YA UHURU 9 DISEMBA, 2015

    MKOA WA DODOMA UMEANZA KUTEKELEZA AGIZO LA MHE. RAIS MAGUFULI LA KUFANYA USAFI SIKU YA UHURU 9 DISEMBA, 2015 Mkoa wa Dodoma umeanza rasmi kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli lililotaka kufanyika kwa usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali...
  • Putin orders several sanctions against Turkey

    Putin orders several sanctions against Turkey Russian President Vladimir Putin issued a decree for sanctions against Turkey on Saturday, days after a Russian warplane was shot down in Turkey. Turkish Presdient Tayyip Erdogan expressed regret over the warplane incident earlier on Saturday, saying: "We are truly saddened by this...
  • November 28, 2015

  • BALOZI ZATAKIWA KUJIPANGA KUIWAKILISHA TANZANIA

    BALOZI ZATAKIWA KUJIPANGA KUIWAKILISHA TANZANIA Kufuatia agizo la Rais John Magufuli alilotoa hivi karibuni la kusitisha safari za nje kwa wizara, idara na taasisi za serikali, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imeanza kutekeleza kwa kutoa maelekezo kwa Balozi zake za nje.   Wizara hiyo...
  • UTURUKI YAMUONYA PUTIN KUTO CHEZA NA MOTO

    Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amemuonya mwenzake wa Urusi Vladimir Putin 'kutocheza na moto' kuhusu swala la taifa lake kuidungua ndege ya kijeshi ya Urusi . Bwana Erdogan pia amesema kuwa anataka kukutana na bwana Putin ana kwa ana katika mazungumzo ya mabadiliko ya hali ya hewa...
  • RAIS DK.SHEIN ATEMBELEA KIWANDA CHA SUKARI MAHONDA LEO

    RAIS DK.SHEIN ATEMBELEA KIWANDA CHA SUKARI MAHONDA LEO  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi mbali mbali wa Kiwanda cha Sukari cha  Mahonda  kiliopo katika Wilaya ya Kaskazini B. Unguja alipofanya ziara maalum ya kutembelea kiwanda hicho leo,ambacho kinachofanyiwa ukarabati na Kampuni ya Shanta...
  • KOMBE AMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI KWA KUWAPATIA JAMBO LEO FAGIO ZA USAFI SIKUKUU YA UHURU

    KOMBE AMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI KWA KUWAPATIA JAMBO LEO FAGIO ZA USAFI SIKUKUU YA UHURU  Waandishi wa habari wa gazeti la Jambo Leo, wakifurahia kupata fagio walizokabidhiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Zahanati ya Mji Mwema Kigamboni, Dar es Salaam, Omary Kombe (kulia), katika hafla iliyofanyika katika chumba...
  • BREAKING NEWS : Kigogo CCM kortini kwa kulawiti wanawe ... Mmoja ana mwaka mmoja, mwingine miaka mitano.

    BREAKING NEWS : Kigogo CCM kortini kwa kulawiti wanawe ... Mmoja ana mwaka mmoja, mwingine miaka mitano.  Katibu Msaidizi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, Rogers Msangi (44), amepandishwa kizimbani mjini Moshi akituhumiwa kuwalawiti watoto wake wawili. Msangi, ambaye pia ni Katibu wa Itikadi...
  • BREKING NEWS: KASHFA YA BANDARI WATUMISHI WENGINE WASIMAMISHWA KAZI LEO

    ...
  • November 27, 2015

  • SERA YA ELIMU BURE INAKARIBIA KUKAMILIKA KUANZA KUTUMIKA JANUARI MWAKANI

    SERA YA ELIMU BURE INAKARIBIA KUKAMILIKA KUANZA KUTUMIKA JANUARI MWAKANI Serikali imesema siku za karibuni watatoa muongozo utakaoonyesha jinsi sera mpya ya elimu bure itakavyotekelezwa kuanzia mwezi Januari. Hii imejulikana baada ya mkutano kati ya Kati Mku wa Wizara ya Elimu, Profesa Sifumi Mchome na wakurugenzi wa Idara...
  • BREAKING NEWSS::RAIA YEYOTE ATAKAYETOA TAARIFA ZA UHAKIKA NA KUFICHUA WATU WANAOKWEPA KURIPA KODI KUJINYAKULIA ZAWADI

    BREAKING NEWSS::RAIA YEYOTE ATAKAYETOA TAARIFA ZA UHAKIKA NA KUFICHUA WATU WANAOKWEPA KURIPA KODI KUJINYAKULIA ZAWADI ...
  • SERIKALI YAKANUSHA KUHUSU HAZINA KUACHWA TUPU

    SERIKALI YAKANUSHA KUHUSU HAZINA KUACHWA TUPU Na Jovina Bujulu-Maelezo Serikali imekanusha taarifa zinazosambazwa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kuwa amekomba fedha hazina na kuiacha Serikali bila fungu lolote. Hayo yamesemwa jijini dare es salaam na Kamishina...
  • BREAKING NEWS : RAIS MAGUFULI AMSIMAISHA KAZI KAMISHA MKUU WA TRA

    Aliyekuwa Kamishna wa TRA Rished Bade Rais John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi kamishna wa mamlaka ya mapato TRA Bw.Rished Bade na kumteua Bw.Philiph Mpango kukaimu nafasi hiyo. Taarifa kutoka ikulu zimesema kuwa uamuzi huo wa rais Magufuli umefuatia ziara ya waziri mkuu bandarini uliobaini upotevu wa makontena 349....
  • BREAKING NEWS : WAZIRI MKUU AIBUA MADUDU YA UPOTEVU WA MAKOTENA 346 YENYE DHAMANI YA BILIONI 80

    BREAKING NEWS : WAZIRI MKUU AIBUA MADUDU YA UPOTEVU WA MAKOTENA 346 YENYE DHAMANI YA BILIONI 80 Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa akisisitiza jambo wakati wa mkutano wake na uongozi wa TRA na TPA alipofanya ziara ya kustukiza Bandarini leo asubuhi. Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa...
  • Marekani Yaipa Kibano Tanzania .....Yaitaka Serikali itoe Maelezo Uchaguzi Zanzibar na Sheria ya Mtandao , Yatishia kusitisha Msaada wa Trilioni

    Marekani Yaipa Kibano Tanzania .....Yaitaka Serikali itoe Maelezo Uchaguzi Zanzibar na Sheria ya Mtandao , Yatishia kusitisha Msaada wa Trilioni Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) wa Marekani umeonya kuwa hali ya kisiasa Zanzibar na tukio la hivi karibuni la watu kukamatwa chini ya sheria mpya ya uhalifu...
  • Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.