May 17, 2014

  • AUNT EZEKIEL AFANYA KUFULU ILALA ATUNZA MILIONI MOJA NA USHEKHE KWENYE SHUGHULI YA SHOGA YAKE ZAWADI KIBIRITI

     
     
     
     
    Muigizaji wa filamu nchini, Aunt Ezekiel akiwa ameshika noti kwa ajili ya kumtunza shoga yake Zawadi Kibiriti wakati wa shughuli iliyofanyika Ilala Dar es salaam leo Ezekiel alifunga mtaa kwa utunzaji wake ambapo ametunza shilingi milioni moja na zaidi wakati wa shughuli hiyo iliyoudhuliwa na wakazi wengi wa jiji la Dar es salaam ususani wakazi wa ilala na vitongoji vyake picha na www.burudan.blogspot.com
    Muigizaji wa filamu nchini, Aunt Ezekiel akimtunza kwa mbwembwe Zawadi Kibiriti 
    picha na www.burudan.blogspot.com
    Muigizaji wa filamu nchini, Aunt Ezekiel akimtunza kwa mbwembwe Zawadi Kibiriti picha nawww.burudan.blogspot.com
    Muigizaji wa filamu nchini, Aunt Ezekiel akiwa ameshika noti kwa ajili ya kumtunza shoga yake Zawadi Kibiriti wakati wa shughuli iliyofanyika Ilala Dar es salaam leo Ezekiel alifunga mtaa kwa utunzaji wake ambapo ametunza shilingi milioni moja na zaidi wakati wa shughuli hiyo iliyoudhuliwa na wakazi wengi wa jiji la Dar es salaam ususani wakazi wa ilala na vitongoji vyake 
    picha na www.burudan.blogspot.com
    Muigizaji wa filamu nchini, Aunt Ezekielwa pili kushoto na wapambe wake wakienderea kutunza
    Baadhi ya wake wa wanamziki wa bendi ya msondo ngoma wakishudia shughuli hiyo picha nawww.burudan.blogspot.com
    Lucy bandawe nae alikuwepo

    watu waliodhulia
    wake wa wasanii wa bendi ya msondo ngoma wakiwa katika picha ya pamoja picha na www.burudan.blogspot.com
    lucy bandawe
    waalikwa
    wake wa wanamuziki wa bendi ya msondo ngoma wakitunza
    wake wa wanamuziki wa bendi ya msondo ngoma wakitunza
    wake wa wanamuziki wa bendi ya msondo ngoma wakitunza
  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.