May 18, 2014

  • NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO SINDE B MBEYA

     
     
     

    Wananchi wakielekea eneo la tukio kwa ajili ya kuuzima moto huo kabla kikosi cha zimamoto kufika



    Changamoto kwa kikosi cha zimamoto mbeya mbali ya kuwahi eneo la tukio lakini mipira ya maji ni mibovu mipira hiyo ina matundu kibao




    Moja ya gari lililookolwea na wananchi

    Kikosi cha zimamoto kazini

    Samani mbalimbali zimeteketea kwa moto




    Madiwani wa kata ya manga kushoto Diwani viti maalumu Mary Malema na Daniel Mwakisyala wakiwa eneo la tukio


    Faraja Damasi akipatiwa matibabu katika kituo cha afya Mwanjelwa baada ya kupata mstuko na kuzirai

    Picha na Ezekiel Kamanga
    Mbeya yetu
  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.