May 27, 2014

  • Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa kwa Mwaka 2014/2015 yapitishwa na Bunge leo.



    Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa kwa Mwaka 2014/2015 yapitishwa na Bunge leo.
    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Bernard Membe akijibu Hoja za Wabunge wakati Bunge likiwa limekaa kama kamati ya Bunge Zima kupitia Bajeti ya     Wizara ya Mambo ya Nnje kwa Mwaka 2014/2015 leo
    Kiongozi swa Upinzani Bungeni Mhe.Freeman Mbowe akichangia hoja wakati  wakati Bunge likiwa limekaa kama kamati ya Bunge Zima kupitia Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nnje kwa Mwaka 2014/2015 leo .
    Msemaji wa Kambi ya upinzani kwa Wizara ya Mambo ya Nnje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Ezekeli Wenje akitoa Hoja za kambi ya Upinzani kuhusu maoni ya kambi ya upinzani kuhusu Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje kwa kwa Mwaka 2014/2015.
    Waziri wa Mambo ya Nnje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Bernard Membe kulia akijadiliana jambo na Msemaji wa Kambi ya upinzani kwa Wizara ya Mambo ya Nnje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Ezekeli Wenje katikati kushoto ni Mbunge wa Iringa Mjini Mhe. Peter Msigwa.
    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushiurikiano wa Kimataifa Kimataifa Mhe.Bernard Membe katikati akiwa katika picha mbili tofauti na Wanachuo wa Chuo Cha Diplomasia Kurasini cha Jijini Dar es Salaam. Picha na Deusdedit Moshi wa Globu ya Jamii, Dodoma


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.