May 28, 2014

  • SIRI IMEFICHUKA SASA...!!Agnes Masogange Avishwa Pete Ya Uchumba Ya Mil.16 baada ya kupachikwa Mimba Afrika Kusini

    Habari mpya ni kuwa Agnes Masogange ambaye ni video queen maarufu nchini amevishwa pete ya uchumba yenye thamani ya shilingi mil.16 za kitanzania.
    masogange
    Habari zaidi zinadai kuwa Masogange kwasasa ni mjamzito na alipoenda Afrka  Kusini hivi juzi kati kumuambia jamaa aliyempa mimba kuwa ana ujauzito wake Jamaa huyo alifurahi sana na kumvisha Masongange pete inayoonekana pichani ambayo Agnes mwenyewe aliweka picha hiyo katika mtandao mmoja wa kijamii na kuandika maneno yasemayo “mama kijacho”.
  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.