May 28, 2014

  • Ngwea atimiza mwaka mmoja leo tangu afariki dunia,ndugu,jamaa na marafiki wamkumbuka…..


    Ngwea atimiza mwaka mmoja leo tangu afariki dunia,ndugu,jamaa na marafiki wamkumbuka…..
    STAA wa Bongo Fleva, marehemu Albert Mangweha 'Ngwea' leo anatarajiwa kufanyiwa shughuli ya kumbukumbu ya kifo chake. Habari kutoka ndani ya familia ya Ngwea zinasema kuwa, shughuli hiyo itafanyika leo Mei 28, nyumbani kwao Morogoro ikiwa ni mwaka mmoja timilifu tangu afariki dunia.
    Staa                  wa Bongo Fleva, marehemu Albert Mangweha 'Ngwea'.
    Staa wa Bongo Fleva, marehemu Albert Mangweha 'Ngwea'.
    Ngwea alifariki dunia Mei 28, mwaka jana katika Hospitali ya St. Hellen jijini Johannesburg, Afrika Kusini alipokuwa amelazwa kwa matibabu.


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.