May 29, 2014

  • To All Married Men, Nini Kilikufanya Umchague Yeye Kuwa Mkeo?

    Najua ni mapema sanaaa yani kuwaza habari za mapenzi asubuhi yote hii,ila mara moja moja si mbaya....
    Okay back to topic.....
    Hii ya leo inawahusu wanaume mliooa au ambao mko engaged kuelekea ndoa,vijana ambao bado mna chagua chagua tafadhali acheni kaka zenu waseme au mkisema basi muwe mnasema ya kweli....

    Swali ni hivi....NINI KILIKUFANYA UMCHAGUE MKE/MCHUMBA ULIENAE??...what made you conclude she is the one?...sababu zipi yani,uzuri wake,sura,umbo,tabia,elimu,kip ato?au ulimpa ujauzito au ulijua tangu siku ya kwanza umemuona au??au kuna situation flani ilitokea ndo ukajua ndo yeye...au?.....au?.....
    mi sijui,naomba mtuweke wazi mkiambatanisha na mifano 'practical' kabisaaa itakuwa poa zaidi....

    Mind you,utakaposema hapa utamsaidia rafiki yako ,mdogo wako ama ndugu yako kupata uelewa yakinifu kuhusu wanaume linapokuja swala zima la ndoa.....mana kama mjuavyo waliozidiwa desperado wanazinatafuta hadi kwa waganga eti hhehehe...naamini hii ishu haina uchawi yani...

    Karibuni sana kwa michago,kejeli si mpango,vichekesho ruksa......
  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.