May 27, 2014

  • WADAU ALBERT NA EVODIA WAMEREMETA MJINI BUKOBA



    WADAU ALBERT NA EVODIA WAMEREMETA MJINI BUKOBA
    MDAU ALBERT MUCHURUZA NA BI EVODIA ERASTO  WAKILA POZI BAADA YA KUMEREMETA KATIKA KANISA LA RC NDANI YA MANISPAA YA BUKOBA NA KUFUATIWA NA MNUSO WA NGUVU  KATIKA
    UKUMBI WA LINAS NIGH CLUB MJINI BUKOBA
    Wapambe wa Bi Harusi wakipozi  wakiwa wamembeba bwana harusi  kuonesha furaha yao
    Wapambe wa Bw Harusi wakiwa wamembeba bi harusi
    Kutoka kulia ni Mheshimiwa Mr Muchuruza baba mzazi wa bwana harusi akiwa sambamba na mke wake bi Rose Muchuruza wakichukua picha ya pamoja na maharusi. Picha zaidi BOFYA HAPA


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.