May 18, 2014

  • MASHABIKI WA ATLETICO MADRID WALIVYOPATA WAZIMU WA UBINGWA

     

    Filling the streets: Atletico Madrid fans hit the Neptuno fountain to celebrate after their club won the La Liga title by drawing 1-1 with Barcelona in the Nou Camp

    MASHABIKI wa Atletico Madrid wameutumia usiku wote kusherehekea ubingwa wao wa kwanza wa La Liga ndani ya miaka 18.

    Maelfu ya mashabiki wamefurika kwenye uwanja wa wazi wa Neptuno Square ulioko jijini Madrid kushangilia ubingwa huo uliokuja baada ya kutoka sare ya 1-1 na Barcelona.

    Jubilant: Atletico fans were lighting flares and celebrating late into the night

    Supporters watch a flare go off

     

     

  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.