Juzi chama kinachojipembua kuwa ni chama cha siasa cha ACT kimepata
usajiri wa kudumu,
Mazingira ya upataji usajili wa kudumu yamejaa utata mtupu na ni
hatari kwa demokrasia ikiwa mamlaka za nchi zinaruhusi makundi haya ya
kihuni kuitwa chama cha siasa na kupewa usajili.
Nitaeleza kwa kifupi ujio wa kinachoitwa chama na kilikotokea na madhumuni yake.
Mwenyekiti wa ACT ni Kadawi Limbu, Na huyu huyu Kadawi Limbu ndiye
Mwenyekiti wa ADC (kipindi inaanza na haijulikani ni lini alihama) .
Na akiwa ziara sometimes anaenda Kama Mwenyekiti wa ADC na sometimes
anaenda Kama Mwenyekiti wa ACT hii wengi hawajaigundua huyu jamaa
anavyofanya
Na pia, huyu Kadawi Limbu ni mdogo wake na Festus Limbu Mbunge wa
Jimbo la Magu kwa CCM, na kwao na huyu Kadawi Limbu ni Magu na Kwao na
Mwigamba ni Magu Pia( do you see this connection).
Sasa angalia matukio ambayo Kadawi ametumika ndani ya ACT na wakati
huo huo ametumika ndani ya ADC
http://issamichuzi.blogspot.
Fungua hiyo ni march 04, mwaka huu, akiwa na ADC
Ya ACT angalia Mwenyekiti ni nani utakuta ni huyo huyo, kijana
alicheza na nafasi ya Katibu wa ADC, na Mwenyekiti wa ACT kwa wakati
mmoja, na Msajili wa vyama yupo kimya tu na hata wananchi wanaojiunga
pia wengi hawajui hili, Hii inamaana ni UTAPELI na Ulagjai unaoendelea
hapo.
Na kuanzia hapa ni wazi kuwa wale waliofukuzwa Chadema mwaka jana they
deserve kuwa nje ya CDM maana Kama ADC ni Ndugu wa ACT na ACT Mwigamba
yupo na nafasi kubwa tu (nahisi ni Katibu mkuu ama Katibu Mkoa wa
Mwanza), na ADC ilikuwepo hata kabla hawajapigwa chini na CDM hii ni
wazi kuwa mission yao ilikuwa ni kuiua CDM.
Na pia kuna uhusiano wa moja kwa moja Kati ya Kadawi Limbu na Hamadi
Rashidi maana hawa wote ni waasi wa CUF, Kadawi kipindi flani
aligombea ubunge moja ya majimbo Dar kwa CUF na Mara Hamadi alipotoka
CuF naye akameguka ili kuwa mlezi wa ADC
Kama mwezi juzi tu alikuwa anapiga ziara kama Katibu wa ADC, at the
same time ana serve Kama Mwenyekiti wa ACT, kuna sheria inayoruhusu
mtu mmoja kutumikia vyama viwili? ( Msajiri hapa alichemka), na hiyo
connection ya Hicho chama strategies zao kubwa ni Lake zone, na wengi
wa wafuasi wa Zito Kama Chagulani ( diwani wa Igoma) alikwenda jimbo
la Nkenge ( kagera) na kuweka bendera za ADC kila Kona
http://www.mpekuzihuru.com/
Hii link ya pili ni gazeti la March 17, mwaka 2014, tofauti ya wiki
takribani 2 tu, mtu moja, sehemu moja ambayo ni Mwanza mjini, vyama
tofauti.
Haya ndugu zangu hizo ndio siasa za malengo ya mtawala
0 comments:
Post a Comment