May 18, 2014

  • MKE WANGU: Amezaa Mtoto Mzungu

     
    Jamani jumatano majira ya saa tisa usiku mke wangu amejifungua.
    Si masihala, amezaliwa mtoto mzungu kabisaaa ila amefanana kila kitu na mimi (copy kabisa).
    Hii ni hali ya kawaida? Ukoo wetu hamna mzungu kabisa wala half cast. Nikifikiria naona kama nimeliwa hivi ila tatizo ni kwamba mtoto amefanana sana namimi kiukweli. Tayari nimeanza kuwa na wakati mgumu baadhi ya ndugu na marafiki kuongea maneno pembeni.
     
    Naombeni mawazo ya kujenga jamani. Asanteni.
  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.