Godfrey Kamanya Naibu waziri wa serikali za mitaa ajiua nyumbani kwake baada ya kushindwa uchaguzi na kupoteza jimbo lake la Lilongwe Msodzi North. Tukio hili la kipekee na la aina yake limeripotiwa kutokea usiku wa saa 3.30 huko Area 10 Lilongwe....!!
0 comments:
Post a Comment