Sehemu ya gari ilipogongwa.
                                  Pembeni ni uzio wa magari                uliowekwa na kamapuni ya Strabag.
                    Umati wa watu wakiwa eneo                la ajali
            MAMA mmoja ambaye                hakufahamika jina lake mara moja, amenusurika kifo baada                ya gari lake aina ya Toyota Cresta, kukogwa na gari kubwa                maeneo ya Ubungo, jijini Dar es Salaam.
            Tukio hilo lilitokea jana,                wakati mama huyo akiwa anatokea maeneo ya River Side na                kukata kona ya kuelekea Mbezi Kimara, ndipo gari kubwa                likamkwangua sehemu ya taa ya nyuma, haikufahamika haraka                nani alikuwa na makosa.
           
0 comments:
Post a Comment