Meneja
 wa Usimamizi Endelevu wa Mazingira asilia Chome,William Nambiza 
akiwaonesha waandishi eneo lilillovamiwa na wachimbaji Madini na baadae 
walifanikiwa kuwaondoa, kwa siku walikuwa wanaingia zaidi ya 600,000 
wakichanganyika na wa nchi jirani.
 Waandishi
 wa vyombo mbalimbali vya habari waliofanya ziara ya kuona mazingira ya 
mto Chome ambalo ni chanzo cha maji yanayokwenda mto Saseni na kutoa 
maji kwa wakazi wa Same na kumwaga maji Bonde la umwagiliaji Ndungu,Ruvu
 na Pangani.
 
 Meneja wa Usimamizi Endelevu wa Mazingira asilia Chome,William Nambiza 
akiwaonesha waandishimiti waliopanda eneo la machimbo ya madini ya msitu
 wa Chome.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
0 comments:
Post a Comment