May 10, 2014

  • MAJANGAZZ MTUHUMIWA HUYU WA WIZI AKISHUSHIWA KIPIGO KIKALI NA WANANCHI

     
     
     
     
    Jamaa wawili wanaotuhumiwa kuwa wezi, nusura wauawe kwa kuchomwa moto na raia waliamua kuchukua sheria mkononi baada ya kula kichapo 'hevi' kwa msala wa kukwapua mkoba wa mrembo aliyekuwa ndani ya Bajaj.
    Kijana ambaye hakufahamika jina lake mapema amejikuta kwenye mikono ya wananchi wenye hasira kali baada ya kukwapua mkoba kwenye bajaji

    Katika tukio hilo lililojiri maeneo ya Kijitonyama, Dar, mwanzoni mwa wiki hii, shuhuda aliyeona alisema aliwaona vijana hao wakiwa wamepanda pikipiki wakipora mkoba wa mrembi huyo aliyejitambulisha kwa jina la Magdalena John (21).PICHA ZAIDI
  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.