May 12, 2014

  • HOMA YA DENGUE NI NINI?

     




    HOMA YA DENGUE NI NINI?
    Homa ya Dengue ni ugonjwa unaoenezwa kwa kuumwa na mbu aina ya Aedes mwenye virus vya ugonjwa huu. Mbu hupata virusi vya homa ya Dengue anapomuuma mtu mwenye ugonjwa huu.
    Ugonjwa huu unaenezwa kutoka mtu mmoja kwenda mwingine kwa kuumwa na mbu huyu.
    DALILI:
    Homa kali ya ghafla
    Kuumwa kichwa hususani sehemu za machoni
    Maumivu makali ya viungo na misuli ya mwili
    Kichefuchefu au kutapika
    Kutokwa na damu kwenye fizi, na sehemu za uwazi za mwili.
    Uchovu
    ukimsikia ndugu au jamaa yako anasema kuwa na dalili hizi muwahishe hospitali mapema.
    ‪#‎SAMBAZA‬ KUWASAIDIA NA WENGINE.
     




  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.