May 22, 2014

  • DAVINA ATESWA NA MUVI ALIYOCHEZA NA KUAMBIANA



    STAA wa sinema za Kibongo, Halima Yahaya ‘Davina’ amefunguka kifo cha mwigizaji Adam Kuambiana kinampa majonzi zaidi kila anapofikiria muvi waliyocheza kwa mara mwisho na marehemu.
    Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahaya ‘Davina’ akiangusha kilio katika msiba wa Kuambiana.
    Akieleza masikitiko yake, Davina alisema kabla Kuambiana hajapatwa na umauti, waliigiza naye sinema ya Stupid Farther na Who is My Son akiwa na Mtitu (William) ambazo zote bado hazijatoka.

    “Yaani hata siamini Kuambiana ametutoka kabla hata muvi tulizocheza naye hazijatoka, ameondoka wakati bado tunamhitaji jamani!” alisema Davina huku akilengwalengwa na machozi.
  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.