Mkurungenzi Mtendaji wa kituo cha                  msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC) Theosia Nshala                  akuzungumza kwenye mdahalo na wanawake wenye ulemavu                  (TAMAWA) juu ya taratibu mbarimbari za Uchanguzi                  hususani hari za mwanamke katika Uchanguzi hapa nchini katika mdahalo uliofanyika                   Jijini Dar es Salaam.
                 Mwanaharakati na Mtaaramu wa Jinsia                  na Haki za Binadam Gema Akilimali, akuzungumza kwenye                  mdahalo na wanawake wenye ulemavu (TAMAWA) juu Kuwajengea wanawake                  ufahamu na ujasiri wa kushiriki katika Uchanguzi kama                  wagombea,wapiga kura wafutiliaji na waangalizi katika mdahalo uliofanyika Jijini                  Dar es Salaam.
                Sehemu ya                    wanawake wenye ulemavu (TAMAWA) wakiwa katika mkutano leo                  Jijini Dar es Salaam.
         Picha na                  Emmanuel Massaka.
        
0 comments:
Post a Comment