Waziri wa Afrika                Mashariki Dk. Harrison Mwakyembe ambaye alikuwa amgeni                rasmi katika semina kwa                  viongozi wa Halmashauri za Kanda za Nyanda za Juu Kusini                   akifungua rasmi semina hiyo.
                    
                                      
        Mkurugenzi                  Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akitoa                  hotuba yake wakati wa semina                    kwa viongozi wa Halmashauri za Kanda za Nyanda za Juu                    Kusini.
          Mkurugenzi                  wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Beki ya CRDB,                  Tully Mwambapa akimkaribisha Mkurugenzi Mtendaji wa                  Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei kutoa hotuba yake                  wakati wa semina kwa                    viongozi wa Halmashauri za Kanda za Nyanda za Juu                    Kusini  iliyoandaliwa na benki hiyo na kufanyika                    jijini Mbeya.
          Mkurugenzi                wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Beki ya CRDB,                Tully Mwambapa akiwaongoza wageni waalikwa kuimba wimbo                maalumu wa Benki hiyo.
                Mkurugenzi                Mtendaji wa Benki ya  CRDB Dk. Charles Kimei akifurahia                jambo na Waziri wa Afrika Mashariki Dk. Harrison Mwakyembe                (katikati) wakati wa semina ya Benki ya CRDB kwa viongozi                wa Halmashauri za Kanda za Nyanda za Juu                Kusini  iliyofanyika jijini Mbeya. Kushoto ni Mkuu Kaimu                Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Nyirembe Munasa.
                 Baadhi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB wakiwa                  katika semina ya                  Benki ya CRDB kwa viongozi wa Halmashauri za Kanda za                  Nyanda za Juu Kusini  iliyofanyika jijini Mbeya 
                  Baadhi ya washiriki                wa semina ya viongozi wa Halmashauri za Kanda za Nyanda za                Juu Kusini  iliyofanyika jijini Mbeya wageni wakiimba                wimbo maalumu wa Benki hiyo. 
                  
          Mkurugenzi                  Mtendaji wa Benki ya  CRDB Dk. Charles Kimei akifafanua                  jambo kwa Waziri wa Afrika Mashariki Dk. Harrison                  Mwakyembe ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika halfa ya                  Benki ya CRDB kwa viongozi wa Halmashauri za Kanda za                  Nyanda za Juu Kusini  
                Waziri wa Afrika                Mashariki Dk. Harrison Mwakyembe akizungumza na waandishi                wa habari.
                Baadhi ya washiriki wa semina iliyoandaliwa na                Benki ya CRDB kwa viongozi wa Halmashauri za Kanda za                Nyanda za Juu Kusini  iliyofanyika jijini Mbeya.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei akifafanua jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei akiwa katika picha ya pamoja na Meneja wa CRDB tawi la Mbalali, Chibby Chibby (katikati) na Meneja wa tawi la Mwanjelwa, Ephraim Lwilla.
                    
        Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei akifafanua jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei akiwa katika picha ya pamoja na Meneja wa CRDB tawi la Mbalali, Chibby Chibby (katikati) na Meneja wa tawi la Mwanjelwa, Ephraim Lwilla.
 Mkurugenzi                  Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei                  akimkaribisha Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Nyirembe                  Munasa wakati wa semina                    kwa viongozi wa Halmashauri za Kanda za Nyanda za Juu                    Kusini  iliyoandaliwa na benki hiyo na kufanyika                    jijini Mbeya. (Picha na Francis Dande)
                     Kaimu                  Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Nyirembe Munasa (kulia)                  akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya                  CRDB, Dk. Charles Kimei wakati wa semina kwa viongozi wa Halmashauri za Kanda                    za Nyanda za Juu Kusini  iliyoandaliwa na benki hiyo                    na kufanyika jijini Mbeya. Katikati ni Meneja wa Benki                    ya CRDB tawi la Mwanjelwa,  Ephraim Lwilla.
                     Mkurugenzi                  Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei                  akibadilishana mawazo na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa                  Mbeya, Nyirembe Munasa (kulia) wakati wa semina kwa viongozi wa                    Halmashauri za Kanda za Nyanda za Juu Kusini                     iliyoandaliwa na benki hiyo na kufanyika jijini                    Mbeya. Katikati ni Meneja wa Benki ya CRDB tawi la                    Mwanjelwa,  Ephraim Lwilla.
                    Mkurugenzi                  Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei                  akimkaribisha mgeni rasmi Waziri wa Afrika Mashariki Dk.                  Harrison Mwakyembe katika semina                    kwa viongozi wa Halmashauri za Kanda za Nyanda za Juu                    Kusini  iliyoandaliwa na benki hiyo.
        
0 comments:
Post a Comment