August 25, 2015

  • AJALI YA DALADALA YATUMBUKIA KWENYE MTARO NA KUJERUHI BAADHI YA ABIRIA


    AJALI YA DALADALA YATUMBUKIA KWENYE MTARO NA KUJERUHI BAADHI YA ABIRIA
    DSC_0006
    Moja ya matukio yaliyonifikia August 25 ni pamoja na hii ajali ya daladala linalofanya safari kati ya Tabata-Segerea- Mnazi Mmoja iliyotokea maeneo ya Tabata Matumbi.


    Shuhuda wa ajali hiyo amesema basi hilo lililokua likitokea mjini lilikikwepa lori na kudumbukia kwenye mtaro huku baadhi ya abiria wakijeruhiwa.
    Nimekuwekea hizi picha za tukio hilo….
    DSC_0001
    DSC_0002
    DSC_0004
    DSC_0006

    DSC_0004

    DSC_0001
    PICHA  KWA HISANI YA MILLARD AYO .COM
    PAPO


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.