Ukosefu                   na/ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo                   linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.                   Zipo  sababu  nyingi  zinazo  sababisha  tatizo  la                   ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.  Miongoni  mwa  sababu                   hizo  ni  pamoja  na  maradhi  kisukari,                  presha,shinikizo  la  damu, moyo, figo, matatizo                   kwenye  mishipa  ya  ubongo  &  mishipa  ya  uti  wa                  mgongo, matatizo  kwenye  mishipa itumikayo  kusafrisha                  damu  mwilini, maradhi  ya  ngiri,  pamoja  na                    upigaji  punyeto  kwa  muda  mrefu.Katika  makala  yetu                   ya  leo, tutaangalia  namna   suala  la  upigaji                   punyeto linavyo  athiri  nguvu  za  kiume.
          Kabla                   hatujaangalia  namna  suala la upigaji  punyeto linavyo                   maliza  nguvu  za  kiume, ni  vyema  tukafahamu  kwanza                   kuhusu  SAYANSI  YA  MFUMO  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
          Kufahamu                    kuhusu   SAYANSI  YA  MFUMO  WA  NGUVU  ZA  KIUME                   tafadhali  tembelea :
          Ukisoma                   vizuri  kuhusu  mfumo  wa  nguvu  za  kiume, utagundua                   kuwa   Suala  la  nguvu  za  kiume  ni  suala  la                   kimfumo.  Ili  mwanaume  awe na nguvu  za  kiume,                  aendelee  kuwa  na  nguvu  za  kiume na  azilinde                   nguvu  zake za  kiume, ni  lazima  ogani  zote zinazo                   husika  na  mfumo  wa  nguvu  za  kiume  ziwe  na  afya                   njema  na  ziwe  na  ushirikiano   thabiti  na  wenye                   afya.
          Vile  vile ,                  utagundua  kuwa , mambo  makuu  muhimu  katika   mfumo                   wa  nguvu  za  kiume  ni  kama  ifuatavyo:
          i.                    Mishipa                   imara  ya  ubongo  na  yenye  afya  njema
          ii.                  Mishipa  imara                   ya  uti  wa  mgongo  (  spinal  cords )
          iii.                Mishipa  imara                   itumikayo  kusafirisha  damu  mwilini  (  Blood Vessels                  )
          iv.                 Mfumo  imara                   wa  usafirishaji  damu  mwilini
          v.                   Mishipa  ya                   uume  iliyo  imara  na  yenye  afya  njema
          vi.                 Uhusiano  imara                   na  wenye  afya  kati  ya  mishipa  ya  fahamu  iliyopo                   katika  ubongo, mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo                   pamoja  na  misuli & mishipa  ya  kwenye  uume.
          Hivyo  basi,                  ili  mwanaume  aweze  kuwa  na  nguvu  imara  za  kiume,                  na  aendelee  kuwa  na  nguvu  hizo ni  lazima  mambo                   yote  muhimu  katika  mfumo  wa  nguvu za  kiume  yawe                   imara  pasi na  hitilafu  yoyote.
          Hitilafu                   yoyote  katika  mambo  hayo, itasababisha  ukosefu                  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume  kwa  mwanaume                   huyo.  Pale inapotokea    hitilafu  ama  mapungufu                   katika  ogani  zaidi  ya  moja  kati  ya  zilizo  tajwa                  hapo  juu, basi  tatizo  kwa  muhusika  huwa  kubwa                   mara  dufu.
          JINSI                   PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU &                   UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
          Mwanaume                    anapopatwa na  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa,                  ubongo  hutoa  ishara  kwenye  mishipa  ya  uti  wa                   mgongo  ambayo  nayo  husafirisha  taarifa  hadi                   kwenye  mishipa &  misuli  ya  uume.
          Mishipa  ya                   uume inapopokea  taarifa  hiyo, hutanuka. Na  mishipa                   ya  uume  inapotanuka, hufanya  mambo  mawili  muhimu                   sana :
          i.                    Husababisha                   mishipa  ya  ateri  kupanuka  na  hivyo  kuruhusu  damu                   kuingia kwa  kasi  sana   ndani  ya  mishipa  ya  uume                   na  hivyo  kuufanya  uume  usimame  na  kuwa  imara                   bara bara. 
          ii.                  Huibinya na                   kuiziba  mishipa  ya  vena  na  hivyo  kuzuia  kunyonya                   ama  kufyonza  damu  iliyo  ingia  ndani  ya  mishipa                  ya  uume.  (  KAZI  KUBWA  YA  MISHIPA  YA  VENA  ILIYO                   KARIBU NA  MISHIPA  YA  UUME  NI KUHAKIKISHA  HAKUNA                   DAMU NDANI YA  MISHIPA  YA  UUME. HIVYO  BASI  DAMU                   INAPOINGIA  NDANI YA  MISHIPA  YA  UUME, MISHIPA  YA                   VENA  HU "SENSE" JAMBO  HILO  KWA  HARAKA  NA HIVYO                   KUIFYONZA  DAMU  HIYO  KUTOKA KWENYE MISHIPA  YA UUME                   YA  KUITOA  NJE YA MISHIPA  YA  UUME.  NA  DAMU                  INAPOKOSEKANA  NDANI  YA  MISHIPA  YA  UUME, HUUFANYA                   UUME  KUSINYAA  NA  KULEGEA )
          Mtu                   anayepiga  punyeto  husababisha  mambo  yafuatayo                   katika  mwili  wake :
          1.      Huuwa                   nguvu  ya  mishipa  & misuli ya  uume ambayo  ndio                   inayo husika  na  kusimama  kwa  uume
          2.      Mishipa                   ya   uume  inapo  sinyaa  na  kukosa  nguvu  yake  ya                   asili, husababisha  mambo  yafuatayo :
          i.                    Huondoa                   uwezo  wa  mishipa  &  misuli  ya  uume  kutanuka,                  na  hii  ndio  sababu  inayo  wafanya  waathirika  wa                   punyeto  kutumia  nguvu  nyingi  sana  katika  kuufanya                   uume  usimame.
          ii.                  Huondoa  uwezo                   wa  mishipa &  misuli  ya  uume  kuibana  na                   kuiziba  mishipa  ya  vena, na  hii ndio  sababu  inayo                   fanya  waathirika  wa  punyeto  kufika  kileleni                   haraka  sana, kwani damu  inayo  ingia  kwenye misuli                   ya  uume   hufyonzwa  ndani ya  muda  mfupi sana.  Hii                   hutokea  kwa  sababu  mishipa na  misuli  ya  uume                  inakuwa  imelegea,na  mishipa  ya  vena inakuwa                   imepwaya, hivyo  msuguano wowote ule  hufanya  mishipa                   ya  vena  kufunguka  na  kufyonza  damu  kutoka  kwenye                  mishipa  ya  uume  na hivyo  kuufanya  uume  kusinyaa                   ndani ya dakika ama sekunde  chache sana.
          3.      Vile                   vile  punyeto  hufanya  uume  kusinyaa na  kurudi ndani                   na  kuufanya  uonekane kama  uume  wa  motto mdogo.
          Kwa  ufupi                   punyeto  husababisha  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume                   kwa  sababu  kuu  zifuatazo :
          i.                    Kwanza                    hudhoofisha  na  kuharibu  mishipa  ya  uume,  ambayo                   ndio  hufanya  uume kusimama.
          ii.                  Pili                   hudhoofisha  utendaji  kazi  wa  mishipa  ya  ateri,                  ambayo  ndio  hutumika  kama  njia  ya  kusafirisha                   damu kupeleka kwenye  misuli  ya  uume  na  ivyo                   kuufanya  uume  usimame
          iii.                Tatu, punyeto                   hupelekea  kuvuja  kwa  mishipa  ya  vena  na  hivyo                   kusababisha  damu  kufyonzwa  kwa  haraka  sana  kila                   iingiapo ndani  ya  misuli ya  uume  na  matokeo  yake                   ni  uume   kusimama  kwa  muda  mfupi  sana  wakati wa                   tendo  la  ndoa.
          iv.                 Punyeto                   huathiri  mtiririko  wa  damu  kwenda  kwenye  mishipa                   ya  uume, kwa  sababu  hudhoofisha  misuli &                   mishipa  ya  uume  pamoja  na mishipa ya  ateri  ambayo                   ndio  hutumika  katika  kusafirisha  damu kwenda                   kwenye  uume
          DALILI  ZA                   MTU  ALIYE  ATHIRIWA  NA  PUNYETO
          Dalili  kuu                   za  mtu  aliye athiriwa  na  punyeto  ni  kama                   ifuatavyo:
          i.                    Uume                   kusinyaa  na  kuwa  kama  wa  mtoto
          ii.                  Uume kurudi                   ndani
          iii.                Uume  kusimama                   ukiwa  legelege
          iv.                 Kufika                   kileleni  haraka  wakati  wa  tendo  la  ndoa.
          TIBA   YA                    NGUVU  ZA  KIUME  KWA MTU  ALIYE  ATHIRIKA  NA                   PUNYETO.
          Dawa                    asilia  ya  nguvu  za  kiume iitwayo JIKO  ni tiba                   bora  na  ya  uhakika  kabisa  kwa  mtu  aliye                   athiriwa   na  punyeto.  Dawa  hii, pamoja  na  mambo                   mengine  mengi, husaidia  kufanya  mambio  yafuatayo                   katika  mwili  wa  mwanaume  aliye  athiriwa  na                   punyeto :
          i.                    Kuimarisha                   mishipa  & misuli  ya  uume  ulio  legea na  hivyo                   kuurejeshea  uwezo wake wa  asili 
          ii.                  Hutibu                    tatizo  la  uume  kurudi  ndani
          iii.                Humaliza                   tatizo  la  kusimama  kwa  uume  ukiwa  legelege
          iv.                 Hutibu  na                   kuponya  kabisa  tatizo  la  kufika  kieleleni  haraka.
          BEI  YA                   DAWA  :  Dawa  hii  inapatikana  kwa  gharama  ya                   SHILINGI  ELFU  THEMANINI  TU
          (Tsh.                  80,000/=)
          MAHALI                   INAPOPATIKANA :  Dawa  hii  inapatikana  katika  duka                   la  dawa  asilia  liitwalo  NEEMA  HERBALIST  &                   NUTRITIONAL  FOODS  CLINIC  lililopo  jijini  DAR  ES                   SALAAM  katika  eneo  la  TABATA   MAKOKA    karibu  na                  SHULE  YA  SEKONDARI YA  MT. ANNUARITE.
          Kwa  wateja                   wasio  weza  kufika  ofisini  kwetu. Watafikishiwa                   dawa  mahali  popote  walipo  jijini  DAR  ES  SALAAM.
          Kwa                    wateja  waliopo  mikoani  watatumiwa  dawa  kwa  njia                   ya  MABASI
          Kwa  wateja                   waliopo   Zanzibar  wata fikishiwa  dawa  kwa  njia  ya                   usafiri  wa boti.
          Na  kwa                   wateja  waliopo  UGHAIBUNI  watatumiwa  dawa  kwa  njia                   ya  POSTA  ama  DHL.
          MAWASILIANO                  :  WASILIANA  NASI   KWA  SIMU  NAMBA  0766  53  83  84.
          Kwa                   taarifa  zaidi  kuhusu  huduma  zetu, tutembelee                   kwenye  blogu  yetu :
                  
0 comments:
Post a Comment