August 21, 2015

  • PICHA: ACT WALIVYOMTAMBULISHA MGOMBEA WAO WA URAIS, ANGALIA PICHA ZAIDI HAPA


    PICHA: ACT WALIVYOMTAMBULISHA MGOMBEA WAO WA URAIS, ANGALIA PICHA ZAIDI HAPA
    Najua nina watu wangu wanaopenda stori za siasa sasa stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwenye Chama cha ACT-Wazelendo ambacho leo kimepitisha majina mawili , Anna Elisha na Mussa Yusuph kuwa wao wagombea urais kwenye uchaguzi Mkuu wa Tanzania October .
    .Kiongozi wa ACT- Wazalendo Zitto Kabwe
    Hawa ndio walioteuliwa kugombea urais kupitia chama cha ACT – Wazalendo , Anna Elisha na Mussa Yusuph.
    Kitila Mkumbo akizungumza na wanachama.





  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.