August 12, 2015

  • UHAMIAJI YATWAA USHINDI WA TATU MAONESHO YA NANENANE LINDI



    UHAMIAJI YATWAA USHINDI WA TATU MAONESHO YA NANENANE LINDI
     Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Kikwete akimkabidhi zawadi ya Ushindi wa Tatu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe ambaye alipokea kwa niaba ya Ofisi ya Uhamiaji walioibuka washindi wa tatu katika Maonesho hayo ya Kilimo Nane nane yaliyofanyika kitaifa Mkoani Lindi,
     Wafanyakazi wa Idara ya Uhamiaji wakiwa katika Picha ya Pamoja wakishangilia Ushindi walioshinda katika Maonesho ya Kilimo ya Nane nane yaliyofanyika Kitaifa Mkoani Lindi na Kufungwa na Mh. Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete.
     Afisa Uhamiaji Mkoa waLindi Abdallah Towo akiwa na Martin Mhagama,Mkaguzi wa Uhamiaji Lindi wakiwa wameshikilia kikombe cha Ushindi wa Tatu walichokabidhiwa na Rais Kikwete katika Maonesho ya Nane nane
    Mratibu wa Uhamiaji kutoka Makao makuu Bi. Tatu Burhani (mwenye Hijabu) akiwa sambamba na Sofia Maunda ambaye ni Konstebo wa Uhamiaji Lindi (mwenye Kofia) wakiwa katika Banda lao la Maonyesho katika sherehe za Nane nane Mkoani Lindi.


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.