Tunakujali, Tunakuthamini na Pia Tunakupenda!

August 31, 2015

  • WATUMIAJI WA MITANDAO VIBAYA SHERIA KUWADHIBITI KUANZA LEO SAA 6:00 USIKU

    WATUMIAJI WA MITANDAO VIBAYA SHERIA KUWADHIBITI KUANZA LEO SAA 6:00 USIKU Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dares Salaam leo. Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa kazini jijini Dar es Salaam leo.   Na Magreth Kinabo  SHERIA mpya   ya Makosa...
  • WAPIGANAJI 10 WA BOKO HARAMU WAUAWA CHAD

    WAPIGANAJI 10 WA BOKO HARAMU WAUAWA CHAD Image copyrightAFPImage captionWashukiwa 10 wa Boko Haram waliouawa Chad Wanachama kumi wa kundi la Boko Haram, wameuawa kwa kupigwa risasi nchini Chad. Wapiganaji hao walipewa adhabu hiyo baada ya kupatikana na hatia ya kuhusika na vitendo vya kigaidi, katika kesi iliyofanyika...
  • Samwel Sitta Ataka Akutanishwe na Lowassa Katika Mdahalo Ili Aanike Ukweli wa Richmond

    Samwel Sitta Ataka Akutanishwe na Lowassa Katika Mdahalo Ili Aanike Ukweli wa Richmond MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na Mbunge wa Urambo aliyemaliza muda wake, Samuel Sitta ametaka uandaliwe mdahalo kwenye vyombo vya habari kati yake na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa uelezwe ukweli juu...
  • August 30, 2015

  • HOTUBA YA MGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA CHADEMA NA UKAWA MH. EDWARD NGOYAI LOWASSA ,,YA KUZINDUA ILANI NA KAMPENI YA UCHAGUZI MKUU

    HOTUBA YA MGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA CHADEMA NA UKAWA MH. EDWARD NGOYAI LOWASSA  YA KUZINDUA ILANI NA KAMPENI YA UCHAGUZI MKUU Jangwani-Dar-es-Salaam, 29 AGOSTI 2015 Ndugu Wana Dar es salaam na Watanzania wenzangu 1. Leo ni siku ya kihistoria. Baada ya miaka ishirini na tano tangu mfumo wa...
  • Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.