MKONGWE wa filamu kutoka Bongowood, Sabrina Rupia 'Cathy' amefunguka kuwa hataacha kuigiza mpaka siku anaingia kaburini.
Akipiga stori mbilitatu na mwandishi wetu, Cathy ambaye aliyetamba na Tamthiliya ya Simu ya Mkononi alimshukuru mumewe kwa kumpa sapoti mpaka alipofikia.
"Kwenye filamu imeanza kuigiza toka sini za watoto, vijana na sasa naelekea kuigiza kasti za kizee, siwezi kuacha mpaka nife," alisema
0 comments:
Post a Comment