September 04, 2014

  • MTOTO AGONGWA NA GARI ENEO LA SOWETO , DEREVA AKIMBIA.



    NEWS ALERT: MTOTO AGONGWA NA GARI ENEO LA SOWETO LEO , DEREVA AKIMBIA.
    TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HIZI
    Mtoto huyo ukiwa kando muda mchache baada ya kugongwa na gari aina ya Toyota Double Cabin ambayo ilikimbia baada ya kufanya tukio hilo
    Baadhi ya wasamalia wema wakiwa wamefika eneo la tukio kwa ajili ya kutoa msaada kwa mtoto huyo 
    Baadhi ya wasamalia wema wakimchukua mtoto huyo kwa ajili ya kuupeleka hospitali
     Mashuhuda

     Tukio hili limetokea mida ya saa Tano asubuhi leo ambapo chanzo cha ajali hiyo ni Mwendo kasi wa Gari hilo ambapo halikuchukua tahadhari na kusababisha kugongwa kwa Mtoto huyo 

    Picha na Mbeya Yetu 




  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.