TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HIZI
        
Mtoto huyo ukiwa kando muda          mchache baada ya kugongwa na gari aina ya Toyota Double Cabin          ambayo ilikimbia baada ya kufanya tukio hilo
        
Baadhi ya wasamalia wema wakiwa          wamefika eneo la tukio kwa ajili ya kutoa msaada kwa mtoto huyo 
        

Baadhi ya wasamalia wema          wakimchukua mtoto huyo kwa ajili ya kuupeleka hospitali
        

 Mashuhuda
         Tukio hili limetokea mida ya          saa Tano asubuhi leo ambapo chanzo cha ajali hiyo ni Mwendo kasi          wa Gari hilo ambapo halikuchukua tahadhari na kusababisha          kugongwa kwa Mtoto huyo 
        Picha na Mbeya Yetu 
         
 
.jpg) 
 
 
0 comments:
Post a Comment