Ukaguzi huo            ulianza kwa mabishano kati ya wakaguzi na baadhi ya wateja            wanaodaiwa kukiuka taratibu  ambao wanahisi kuwa wameonewa na            kulalamika kutotendewa haki.
        Katika hali            isiyo ya kawaida wakaguzi hao walilazimika kuvunja sehemu ya            stoo katika baadhi ya nyumba hili kuwapata watu waliyojificha            baada ya kuona askari na wakaguzi hao na walipopatikana            akiwemo bwana Ismail Gidion aliyekutwa na kosa la            kujiunganishia umeme kinyeji amejitetea kuwa yeye atambui            kinachoendelea hata hivyo alifanikiwa kutoroka na kuwa kimbia            wakaguzi wa shirika hilo ambo walimkimbiza bila mafanikio.
        
0 comments:
Post a Comment