Dereva huyo baada la kulipita gari moja akitokea Zizi la Ng'ombe ghafla akakutana na hiace mbele ambapo dereva wa daladala alipinda kulia bila kuonyesha indictor kuelekea Kihodombi na kusababisha pikipiki kuingia uvunguni mwa gari hilo ingawa daladala ilikuwa haina abiria hata mmoja ndani yake. (
0 comments:
Post a Comment