June 18, 2014

  • TBL YAPATA TUZO YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA NCHINI



    TBL YAPATA TUZO YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA NCHINI
     Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sofia Mjema (kushoto) akimkabidhi tuzo ya cheti Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dorris Malulu, kwa kutambua mchango wa kampuni hiyo katika utunzaji wa mazingira nchini, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliyofanyika hivi karibuni kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam.
    Dorris Malulu akifurahia TBL kupata tuzo ya utunzaji mazingira nchini


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.