June 29, 2014

  • Bi Rusi Manfred ndiye Bibi Bomba 2014



    Bi Rusi Manfred ndiye Bibi Bomba 2014
    Mashindano ya kumtafuta Bibi bomba mwaka 2014 yalifanyika Mikocheni katika ukumbi wa Saadani Parking national hotel jijini Dar es salaam , mgeni rasmi alikuwa Bi.Anna Kilango. Aliyefanikiwa kuibuka mshindi usiku huo ni Bi Rusi Manfred ambaye alijipatia zawadi ya shilingi milioni kumi za kitanzania na kiwanja chenye thamani ya shilingi Milioni tano.
    Bi Rusi akikabidhiwa zawadi yake


    Mashabiki wakimshangilia Mshindi


    Bi Rusi akiwa ameshikiria Hati ya kiwanja kama
    moja ya zawadi yake


    Mkurugenzi wa Tanzania Women's Bank (TWB) Bi Margareth Chacha  akitoa pongezi zake. 


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.