June 28, 2014

  • EVANS AVEVA AMALIZA KAMPENI ZA URAIS SIMBA KWA KISHINDO




    EVANS AVEVA AMALIZA KAMPENI ZA URAIS SIMBA KWA KISHINDO
     Mgombea wa nafasi ya urais Evans Aveva, akiwa na Mlinzi wake 'Board Guard' (nyuma) akijinadi kwa wanachama, wakati wa mkutano wake wa kampeni za mwisho na waandishi wa habari kuelekea uchaguzi mkuu wa Klabu hiyo kesho, kuomba ridhaa ya kuchaguliwa kuiongoza Klabu ya Simba kwa kipindi kijacho cha miaka minne. Hitimisho hilo la kampeni zake limefanyika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam. 
     Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Hassan Dalali, akimnadi mgombea Urais Evans Aveva.
     Sehemu ya waandishi wa habari waliohudhuria mkutano huo.
     Baadhi ya wanachama wa Simba waliohudhuria mkutano huo.


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.