June 29, 2014

  • TASWIRA MBALIMBALI KATIKA UCHAGUZI WA KLABU YA SIMBA LEO


    TASWIRA MBALIMBALI KATIKA UCHAGUZI WA KLABU YA SIMBA LEO
    Wagombea wa nafasi ya Urais katika Klabu ya Simba, Evans Aveva (katikati) na Andrew Tupa na wakipiga kura wakati wa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa klabu hiyo uliofanyika jijini Dar es Salaam.
     Hassan Dalali akipiga kura.
     Mbunge wa Ilala, Mussa Azan Zungu na Rais wa Simba anayemaliza muda wake, Ismail Aden Rage wakipiga kura.
     Rais wa Simba aliyemaliza muda wake, Ismail Aden Rage akiagana na mgombea wa Urais wa Simba, Evans Aveva (katikati).
     Wagombea wakitafakari.



  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.