Assalaamu Alaykum,
        Jumuia ya Kiislamu ya An Noor ya                Leicester Uingereza inapenda kuwatakia
        Waislamu wote mfungo mwema wa                Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
        Allah akujaalieni nyote afya na                nguvu za kutekeleza ibada nyingi zaidi ndani Ya                Mwezi huu Adhimu. Pia                awape Shufaa ndugu zetu wenye matatizo ya Kiafya na                mengineyo. Amin
        Jumuia ya An Noor inapenda pia                kuwatangazia Waislamu wenzao waishio Leicester Na                vitongoji vya karibu kuwa Programu ya Ramadhan InshaaAllah
        Itaendelea kama kawaida mwaka huu                kwa utaratibu wa Kawaida.
        Kila Jumamosi na Jumapili                kutakuwa na Darasa za Mwezi wa Ramadhan
        Kuanzia Saa Moja na Nusu jioni                katika jengo letu 170a Belgrave Gate LE1 3XL Leicester
        Baada ya hapo tutakuwa na Futari                ya pamoja. 
        Kama kawaida kila Familia                itashiriki katika kuleta futari
        Kadhalika kila Familia                inakumbushwa kuchangia £5 kila wiki kwa ajili ya                Maandalizi.
        Programu InshaaAllah itaanza                Jumamosi 5/7/2014.
        Kwa maelezo zaidi tafadhali                wasiliana na hawa wafuatao:
        Malik 07983614261 au ust Farid                07792174408 
        au tutumie email:                madrasatulnoor.01@gmail.com
        Kullu Am Wa Antum Bikhayr
        Mohammed Omar, 
        Mwenyekiti wa Jumuia 
        
0 comments:
Post a Comment