June 22, 2014

  • Yale yaleeeeee: Eh, wazee wa chuma chakavu mtatuulia magari jamani....



    Yale yaleeeeee: Eh, wazee wa chuma chakavu mtatuulia magari jamani....
     "Ohoooooo.... Gari langu maskini...." Dereva wa teksi anatoka nje kuangalia jinsi gari lake lilivyoingia kwenye chemba ya maji machafu ambayo mfuniko wame umeeshaenda kusikojulikana na kuacha shimo kubwa katikati ya barabara ya Mtaa wa Zanaki jijini Dar es salaam leo
     Wasamaria wema wanasogea kuja kumuokoa
     "Hayaaaa....twendeeeeee" Gari linatoka
     Anapiga rivasi taratibu huku mshimo ukiwa umeachama  
    Anaondoka taratibu huku akisikitika na kujiuliza nini kifanyike kuondoa adha hii jijini....


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.