June 20, 2014

  • ZANZIBAR YAADHIMISHA SIKU YA KICHOCHO



    ZANZIBAR YAADHIMISHA SIKU YA KICHOCHO LEO
     Mkuu wa Divishen ya Elimu Zanzibar Maalim. Ahmed Abdul-majid ambae ni Mgeni rasmin siku ya Kichocho Zanzibar, akihutibia wananchi na wanafunzi waliofika katika hafla hiyo huko Skuli ya Mwera Wilaya ya Kati Unguja ambapo kunasadikiwa kuwa na wingi wa Koa wambukizao Kichocho
     Wanafunzi wakionyesha picha jinsi ya maambukizi ya Kichocho yanavyopatikana.
     Sehemu ya wanafunzi  waliofika katika sherehe ya siku ya Kichocho inayoadhimishwa kila mwaka hapa Zanzibar.
     Aina za Konokono wanaoambukiza Kichocho na wale wasio ambukiza.
     Sehemu wanaopenda kukaa Konokono wanaoambukiza Kichocho. Mto wa Mwera Wilaya ya Kati Unguja. Picha na Makame Mshenga Maelezo Zanziba


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.