May 19, 2014

  • AJALI YA HIVI PUNDE YAUA WAWILI KIRUMBA.

    HATARI..dakika hii hapa Kitangiri..watu wawili papo hapo (mama mmoja na kijana wa kiume) wamefariki dunia mara baada ya gari dogo (gari lililowagonga hilo jeusi) lililokuwa likiendeshwa kwa kasi kuwagonga wananchi hao ambao walikuwa wakivuka barabara katika eneo la Kirangiri Kirumba jijini Mwanza.

    Juhudi za wasamaria wema kusitiri miili ya watu hao zinaendelea kufanyika eneo la ajali ikiwa ni pamoja na kuwakimbiza Hospitali kwa uhakiki..
    Dereva wa gari hilo alitokomea kusiko julikana mara tu baada ya kusababisha ajali hiyo.
    @Bernard James.
  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.