June 20, 2014

  • WAANDISHI WA HABARI WA MKOA WA NJOMBE WAKABIDHIWA VYETI VYA USHIRIKI WA MAFUNZO YALIYOTOLEWA NA MCT



    WAANDISHI WA HABARI WA MKOA WA NJOMBE WAKABIDHIWA VYETI VYA USHIRIKI WA MAFUNZO YALIYOTOLEWA NA MCT
    Katibu wa chama cha waandishi wa habari mkoa wa Njombe Hamis Kassapa akipokea cheti cha kushiriki mafunzo yaliyotolewa na baraza la habari Tanzania MCT kwa waandishi wa habari wa mkoa huo 
    Mtangazaji wa Uplands Fm Zenobia Mtei akipokea cheti chake kutoka kwa wawakilishi wa MCT
    David Jothamson kutoka Kings FM ya Njombe akipokea cheti chake cha kushiriki mafunzo
    Mtangazaji Veronica Mtauka wa redio Kitulo FM ya wilayani Makete mkoani Njombe akipokea kwa furaha cheti chake kama mshiriki wa mafunzo hayo
    Mkurugenzi wa Ice FM ya Makambako mkoani Njombe MCDonald Mase akipokea cheti chake
     Mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari mkoa wa Njombe Mercy James akikabidhiwa cheti chake
     Meneja wa kitucha redio Uplands Fm, Novatus Lyaruu akipokea cheti chake kama mshiriki wa mafunzo hayo
    Mwandishi wa habari wa gazeti la Majira na mtandao wa Habari Ludewa Blog NIckson Mahundi akikabidhiwa cheti chake
    Mtangazaji wa Best FM ya Ludewa mkoani Njombe akipewa cheti chake cha ushiriki wa mafunzo hayo
    Mmiliki wa Eddy Blog Edwin Moshi akipokea cheti cha mafunzo hayo ya siku nne yaliyoandaliwa na MCT.

    Mafunzo hayo yaliandaliwa na baraza la habari Tanzania (MCT) kwa kushirikiana na chama cha waandishi wa habari mkoa wa Njombe (NPC) yenye lengo la kuwasaidia waandishi hao kuandika habari kwa kufuata weledi wa taaluma hiyo. PICHA ZOTE NA EDWIN MOSHI


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.