June 20, 2014

  • Picha Kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa:Balozi Mpya wa Marekani Nchini Tanzania Mark Childress Ajitambulisha Rasmi Kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe


    Picha Kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa:Balozi Mpya wa Marekani Nchini Tanzania Mark Childress Ajitambulisha Rasmi Kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe
      Mhe. Childress akisaini Kitabu cha Wageni alipowasili Ofisini kwa Mhe. Membe
     Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akimkaribisha kwa furaha na kwa mara ya kwanza ofisini kwake Balozi wa Marekani hapa nchini, Mhe. Mark Childress alipofika e kwa ajili ya kujitambulishana pia kuzungumzia masuala ya ushirikiano kati ya Tanzania na Marekani.
    Mhe. Membe na Mhe. Childress katika picha ya pamoja.
     Mhe. Membe na Balozi Childress wakiwa katika mazungumzo
     Mhe. Childress na ujumbe aliofuatana nao wakimsikiliza Mhe. Membe (hayupo pichani)
    Picha ya pamoja kati ya Mkhe. Membe na Mhe. Childress pamoja na Maafisa kutoka Ubalozi wa Marekani na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bi. Mindi Kasiga (wa kwanza kulia).


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.