May 13, 2014

  • Nigeria Imekataa Masharti na Boko Haramu Kuwaachia huru Wanafunzi wa Kike Zaidi ya 200


    Abuja (AFP) - Nigeria on Monday rejected conditions set out by Boko Haram leader Abubakar Shekau for the release of more than 200 schoolgirls held hostage by the Islamists.

    Asked if the government would reject the suggestion mentioned by Shekau in a new video that the girls may be released once Nigeria frees all militant prisoners, Interior Minister Abba Moro told AFP: "Of course."

    Abuja (AFP)- Jumatatu, Nigeria imekataa masharti yaliyowekwa na kiongozi wa Boko Haramu,Abubakar Shekau kwa ajili ya kuwaachia huru wanafunzi wa kike zaidi ya 200 waliotekwa na wanamgambo wa kiislam.

    Waziri wa mambo ya ndani alipoulizwa kama serikali itakataa mapendekezo yaliyotolewa na Shekau katika video mpya ambayo wasichana wanaweza kuachiwa huru mara moja endapo Serikali ya Nigeria itawaachia huru wafungwa wote wapiganaji, alijibu kuwa suala katika swali siyo juu ya Boko Haramu kutoa masharti.
  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.