May 19, 2014

  • Gari la kifahari la McLaren laonyeshwa kwenye jiji la Monaco kwa mara ya kwanza



    mclaren-p1-monaco-1-690x456
    Gari ya kifahari kabisa kwa mara ya kwanza kuonekana katika jiji la magari ya kifahari duniani Monaco nchini Ufaransa kama inavyoonekana kwenye picha imesajiliwa Italia na gari la kimichezo na ina mchanganyiko wa vitu vingi kama rangi nyeusi na nyekundu na manjano.
    Na modewjiblog, kwa Msaada wa Mtandao
    Katika jiji la Monaco ndio mahali magari mengi ya kifahari na yenye kasi ya ajabu na muundo wenye kutumia teknolojia ya juu duniani kutumika sana kuliko majiji mengine ulimwenguni kama vile Ferrais na Lamborghinis yatashidwa kutamba katika jiji hilo.
    Inaaminika kwamba hiyo gari aina ya Mclaren ndio gari ya kifahari kupatikana nchini Ufaransa baada ya miongo kadhaa, itapelekwa kwenye maonyesho makubwa ya gari ya kifahari katika jiji la Monaco hivi karibuni au miezi michache inayokuja lakini ujio wa magari haya ya kifahari yameyatoa baadhi ya magari ya kifahari kwenye uso wa dunia.

    Wachambuzi wa magari ya kifahari wanasema hizi ni zama za magari ya umeme na yenye kutumia teknolojia ya hali ya juu kabisa magari kama vile LaFerrari, McLaren PI na Porsche 918 lakini cha kufurahisha LaFerrari tayari imeshapelekwa kwenye maonyesho ya magari ya kimataifa jijini Monaco lakini gari pekee iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu ni McLaren ambayo tayari imeingia sokoni.
  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.