May 14, 2014

  • MABONDIA SAID MBELWA NA KARAMA NYILAWILA WATAMBIANA, KUPAMBANA MEI 24, 2014

     
     
     
     
    Mabondia Karama Nyilawila (kushoto) na Said Mbelwa wakitambiana wakati wa utambulisho wa mpambano wao wa kugombania ubingwa wa UBO ifikapo Mei  24 mwaka huu  katika ukumbi wa Friends Corner Manzese jijini Dar es salaam. katikati ni katibu mkuu wa chama cha ngumi za kulipwa nchini PST Anthony Rutta. Picha na Duper D
  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.