May 20, 2014

  • KUFURU: VAN GAAL APEWA JEURI YA USAJILI …ATENGEWA PAUNI MIL 200 KUFANYA MAPINDUZI MAN UNITED … Cesc Fabregas, Shaw, Arjen Robben, Toni Kroos wasakwa

     

    Meet the new boss: Louis van Gaal will be given £200million to revamp the Manchester United squad

    KOCHA mpya wa Manchester United, Louis van Gaal atakabidhiwa kitita kizito cha pauni milioni 200 ili kufanya usajili wa kishindo Old Trafford.

    Sambamba na hilo, Van Gaal atakula mshahara wa pauni milioni 6 kwa mwaka.

    Unaijua list ya wachezaji anataka kuwasajili? Hebu itupie macho hii:

    KEVIN STROOTMAN

    Timu: Roma. Bei: £25m, umrii: 24  mechi alizocheza msimu wa 2013-14: 28. Magoli: 6 
anatumia guu la kushoto, ana akili sana uwanjani, lakini maumivu ya goti yanamaanisha atakuwa nje ya dimba hadi mwezi Oktoba.

    CESC FABREGAS

    Gunner-be? United could go back in for Barcelona star Cesc Fabregas, who is available for sale

    Timu: Barcelona, bei: £45m, umri: 27, mechi alizocheza msimu wa 2013-14: 55  magoli: 13 
yuko sokoni. United haitahangaika nae iwapo kutakuwa na dalili za mizinguo kama ya msimu uliopita.

    TONI KROOS

    In action: United also look set to reignite their long-standing interest in Toni Kroos

    Timu: Bayern Munich, bei: £18m, umri: 24,
mechi alizocheza msimu wa 2013-14: 51  magoli: 4. Alionyesha nia ya kujiunga na United chini ya David Moyes, lakini Van Gaal nae anamhitaji mchezaji huyu aliyemvumbua kutoka kikosi cha vijana Bayern Munich.

    MATS HUMMELS

    Acrobatic: Borussia Dortmund favourite Mats Hummels is being lined up for United's new-look defence

    Timu: Borussia Dortmund, bei:  £20m, umri: 25,
 mechi alizocheza msimu wa 2013-14: 28  magoli: 2
amekuwa akisumbuliwa na majeraha lakini ni beki mwenye nguvu. Borussia Dortmund itapoteza moja ya wachezaji wake wakubwa.

    HOLGER BADSTUBER

    Timu: Bayern Munich, bei: £15m, umri: 25, mechi alizocheza msimu wa 2013-14: 0,  magoli: 0,
anachukuliwa na van Gaal kama beki bora wa kushoto Ujerumani lakini ndio kwanza anatoka kwenye majeruhi.

    LUKE SHAW

    Timu: Southampton, bei: £27m, umri 18,
 mechi alizocheza msimu wa 2013-14: 36, magoli: 0. Atajiunga na Manchester United mara tu baada ya mambo ya ndani thamani yake, yatakapo hainishwa.

    SEBASTIAN JUNG

    Timu: Eintracht Frankfurt, bei: £7m, umri: 23, mechi alizocheza msimu wa 2013-14:
 36,  magoli: 1.
 Ni beki bora wa pili wa kulia Ujerumani baada ya  Philipp Lahm,

    ARJEN ROBBEN

    Winged wonder: Bayern Munich star Arjen Robben is being considered by his national manager as a target

    Katika orodha hii yupo pia winga wa Bayern Munich Arjen Robben.

  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.