May 14, 2014

  • HEE DUH NILIDHANI ANAMUOMBA MUNGU

    Nilijibanza mahala leo nikiwa nakimbia mvua. Ghafla nikasikia mdada akiomba vitu kadhaa nikajua atakuwa anasali anamuomba Mungu. Cha ajabu hatimae nikasikia "Ok baby mwah I love you. Navisubiri". Kumbe alikuwa akiongea na buzi. Maana ilikuwa kali, naomba school fees za mdogo wangu nisaidie nipate gari kama la Wema, naomba unipe mtaji nataka kwenda China, nisaidie na matibabu ya shangazi anatakiwa kwenda India.
  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.