Tunakujali, Tunakuthamini na Pia Tunakupenda!

May 31, 2014

  • SERIKALI YATOA ZAIDI YA SHILINGI 6.7 BILIONI KUJENGA HOSPITALI YA RUFAA SINGIDA

    SERIKALI YATOA ZAIDI YA SHILINGI 6.7 BILIONI KUJENGA HOSPITALI YA RUFAA SINGIDA Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida Pendael Maasai akimwonyesha Katibu Mkuu kinana vifaa mbalimbali vilivyopo kwenye hospitali hiyo ya rufaa. Mbunge MO akiangalia mojawapo ya vifaa vya hospitali ya rufaa ya singida....
  • TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LEO TAREHE 31.05.2014.

    TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LEO TAREHE 31.05.2014. SACP AHMED Z. MSANGI – KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA ...
  • Mkutano wa mashauriano kati ya Baraza la habari Tanzania(MCT) na Wahariri pamoja na watendaji wakuu wa Vyombo vya habari

    Mkutano wa mashauriano kati ya Baraza la habari Tanzania(MCT) na Wahariri pamoja na watendaji wakuu wa Vyombo vya habari Mkutano wa mashauriano kati ya Baraza la habari Tanzania(MCT) na Wahariri pamoja na watendaji wakuu wa Vyombo vya habari wafanyika katika Hotel ya Aishi Protea iliyoko Machame wilayani Hai...
  • Mchawi kutoka Tanzania ahukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela nchini Kenya baada ya kumdanganya mama mmoja

    Mchawi kutoka Tanzania ahukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela nchini Kenya baada ya kumdanganya mama mmoja Mchawi kutoka Tanzania amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu nchini Kenya kwa kumlaghai mwanamke mfanyabiashara mkenya na kumuibia shilingi milioni tisa.   Mchawi huyo alimhadaa mama huyo kuwa kwa kupitia njia za kichawi...
  • India gang rape inquiry stepped up

    The BBC's Divya Arya, at the scene of the crime, says the tree where the girls were found hanged has become a symbolic landmark Continue reading the main story Rape scandal Anger in remote Indian village Why India's sanitation kills women Victim's life changed Closure ahead? The chief...
  • Malawi election: Peter Mutharika sworn in as president

    Peter Mutharika is the brother of former President Bingu wa Mutharika, who died two years ago Continue reading the main story Related Stories Malawi's competitive elections Behind the cashgate scandal Malawi country profile Peter Mutharika has been sworn in as Malawi's president after the High Court rejected a...
  • CECAFA Nile Basin Cup Updates

    CECAFA Nile Basin Cup Updates Results: AFC Leopards [3] Vs Defence [2] Al-Merreikh 1 [2] Vs Academie 1 [3] Today: Victoria University Vs Mbeya City [5:30pm] Ahly-Shandy Vs Malakia [8:30pm] All remaining Matches moved The organizing committee of the CECAFA Nile Basin Cup sitting this Saturday morning here...
  • Joyce Banda accepts to hand over power to Prof. Arthur Mutharika

    Joyce Banda accepts to hand over power to Prof. Arthur Mutharika Malawian President Joyce Banda has accepted the elections results declared by Malawi Electoral Commission (MEC) that Democratic Progressive Party (DPP) leader Professor Arthur Peter Mutharika (APM) is the president-elect. Banda has reportedly accepted the election results despite...
  • TAIFA STARS kicked out of hotel in Zimbabwe

    TAIFA STARS kicked out of hotel in Zimbabwe Tanzania's national football team, Taifa Stars on Thursday was kicked out of the hotel they were booked in ahead of their crucial return leg against Zimbabwe this Sunday, it has been reported.  This is because the Zimbabwe Football Authority (ZIFA) hosting the...
  • Mnyika Aishukia Serikali Utoroshaji Fedha Nje ya Nchi

    Mnyika Aishukia Serikali Utoroshaji Fedha Nje ya Nchi Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imeilipua Serikali kwa kushindwa kudhibiti utoroshwaji mkubwa wa fedha kwenda nje. Msemaji wa kambi hiyo, John Mnyika alisema katika kipindi cha miaka 39 kuanzia 1970 hadi 2008, Sh9.6 trilioni zilitoroshwa kiharamu kwenda nje. "Utoroshaji wa...
  • Asilimia 25 ya Walimu Hufundisha ‘Makorokocho’ Darasani

    Asilimia 25 ya Walimu Hufundisha 'Makorokocho' Darasani Wakati Serikali ikiahidi kuboresha elimu nchini kwa kuhakikisha inaajiri walimu wa kutosha, imebainika kuwa asilimia 25 ya walimu huwafundisha wanafunzi mambo yasiyo ya msingi. Ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (Unesco), iliyozinduliwa Dar es Salaam...
  • BREAKIN NEWZZZZ:- AJALI YA KUTISHA ILIYOTOKEA SASA HIVI KALOLENI/TABORA BAINA YA TRENI NA GARI LIVE!!

    BREAKIN NEWZZZZ:- AJALI YA KUTISHA ILIYOTOKEA SASA HIVI KALOLENI/TABOTA BAINA YA TRENI NA GARI LIVE!! ...
  • DIAMOND NDANI YA WASHINGTON, DC, APIGA PICHA NA MASHABI WAKE, LEO KUFANYA SHOW NEW JERSEY

    DIAMOND NDANI YA WASHINGTON, DC, APIGA PICHA NA MASHABI WAKE, LEO KUFANYA SHOW NEW JERSEY  Diamond Plutnumz akiongozana na wasafi pamoja na Dj Romy Jons (Dj wake) kulia wakiwa na mwenyeji wao DMK wakiwasili tayari kukutana na mashabiki wake waliofika kwenye mgahawa wa Safari, Washington, DC kumsubili na...
  • MAKALA: HEMED MANETI WA VIJANA JAZZ ATIMIZA MIAKA 24 KABURINI

    MAKALA: HEMED MANETI WA VIJANA JAZZ ATIMIZA MIAKA 24 KABURINI 0 0 1 1141 6510 - 54 15 7636 14.0 Normal 0 false false false EN-US JA X-NONE /* Style Definitions */ table.MsoNormalTable {mso-style-name:"Table Normal"; mso-tstyle-rowband-size:0; mso-tstyle-colband-size:0; mso-style-noshow:yes; mso-style-priority:99; mso-style-parent:""; mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt; mso-para-margin:0in; mso-para-margin-bottom:.0001pt; mso-pagination:widow-orphan; font-size:12.0pt;...
  • Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.