May 23, 2014

  • MBUNGE WA KIGAMBONI DR. NDUGULILE ALIPOTEMBELEA REHAB YA MATEJA KIGAMBONI BONGO LIVE!!

     
     
     


    "Picha ya pamoja baada ya kutembelea na kuongea na watumiaji wa madawa ya kulevya waliopo kwenye sober house iitwayo Back 2 Life iliyopo mtaa wa Feri, Kigamboni.
    Matumizi ya madawa ya kulevya yanazidi kuongezeka.
    Mikakati ya kudhibiti tatizo hili inahitajika sasa kabla halijawa janga la kitaifa."

  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.