June 18, 2014

  • ARJEN ROBBEN NDIYE MWANASOKA MWENYE KASI ZAIDI DUNIANI KWASASA …apiku rekodi za Walcott, Valencia, Bale, Ronaldo, Messi



    ARJEN ROBBEN NDIYE MWANASOKA MWENYE KASI ZAIDI DUNIANI KWASASA …apiku rekodi za Walcott, Valencia, Bale, Ronaldo, Messi

    On his way: Holland's Arjen Robben recorded the world's              fastest ever sprint during a game

    ARJEN Robben wa Holland, ameweka rekodi mpya ya kuwa mwanasoka aliyekimbia kwa kasi zaidi.

    Winga huyo wa Bayern Munich alitoka kwenye nusu yake na kumkimbiza beki wa Hispania Sergio Ramos hadi kumpita na kwenda kufunga moja kati ya mabao matano waliyowatungua mabingwa watetezi wa Kombe la Dunia.

    Blowing: Ramos (and defender Jordi Alba, back)                couldn't keep up with Robben as he scored his second

    And gone! The Dutchman set a world record speed of              37km/h as he breezed beyond Sergio Ramos

    Made them look stupid! The 30-year-old checked back                to beat Iker Casillas to notch Holland's fifth of the                night

    Viwango vya FIFA vimebaini kuwa kasi hiyo ilikuwa ni sawa na kilomita 37 kwa saa ambayo haijawahi kuwekwa na mwanasoka yeyote hapo kabla.

    Rekodi za nyuma ni kama ifuatavyo: Theo Walcott 35.7, Antonio Valencia 35.2, Gareth Bale 34.7, Aaron Lennon 33.8, Cristiano Ronaldo 33.6, Lionel Messi 32.5, Wayne Rooney 32.1 



  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.