June 18, 2014

  • XAVI WA BARCELONA AENDA KUMALIZIA SOKA LAKE QATAR ...Pauni mil 6 kwa mwaka zinamsubiri


    XAVI WA BARCELONA AENDA KUMALIZIA SOKA LAKE QATAR ...Pauni mil 6 kwa mwaka zinamsubiri

    On the move? Barcelona star Xavi (right) has agreed                  to join Qatari club Al Arabi according to Dan Petrescu

    KOCHA wa Al Arabi ya Qatar, Dan Petrescu amesema nyota wa Barcelona Xavi Hernández amekubali kujiunga na timu yake.

    Petrescu ambaye ni beki wa zamani wa Chelsea, amesisitiza kuwa kiungo huyo wa Hispania tayari amesaini mkataba wa awali wa kukipiga Al Arabi.

    Claims: Former Chelsea man Petrescu, pictured                  during his time with Dinamo Moscow, is managing in                  Qatar

    Kwa mujibu wa ripoti kutoka Rumania, Xavi, 34 atalipwa zaidi ya pauni milioni 6 kwa msimu kama usajili wake utakamilika.

    Xavi ameitumikia Barcelona kwa muda wake wote wa soka lakini sasa anaamini kuwa wakati wake wa kutafuta changamoto mpya umewadia.



  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.