June 23, 2014

  • Castle Lager Perfect Six yatimua vumbi kanda ya Kindondoni



    Castle Lager Perfect Six yatimua vumbi kanda ya Kindondoni
    Mchezaji wa timu ya Ifiti, Kavin Mwandisi (kulia) akichuana na mchezaji wa timu ya Matema (FC), Hasani Njaa wakati wa fainali za Castle Lager Perfect Six Kanda ya Kinondoni zililofanika katika Ufukwe wa Coco Beach Dae es Salaam. Ifinit ilishinda mabao 5-4.
    Mchezaji wa timu ya Tegeta City, Amiry Ally (kushoto) akichuana na mchezaji wa timu ya Group six, Semi James wakati wa fainali za Castle Lager Perfect Six Kanda ya Kinondoni zililofanika katika Ufukwe wa Coco Beach Dae es Salaam. Tegeta ilishinda mabao 4-2.
    Mchezaji wa Timu ya Hot Shot, Kali Ongara (kushoto) akichuana na mchezaji wa timu ya Ifinit, Kavin Mwandisi, wakati wa fainali za Castle Lager Perfect Six Kanda ya Kinondoni zililofanyika katika Ufukwe wa Coco Beach Dar es Salaam Ifinit ilishinda mabao 8-4. 




  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.